11 Amo 2:9;Mwa 14:5;2 Sam 12:26;Yer 49:2;Eze 21:20;Amo 1:14(Kwani aliyesalia katika mabaki ya Warefai ni Ogu pekee, mfalme wa Bashani; tazama, kitanda chake kilikuwa kitanda cha chuma; kitanda hicho3:11 Au, sanduku lake la jiwe alimozikwa. kingali kiko Raba kwa wana wa Amoni? Urefu wake ulikuwa ni dhiraa tisa, na upana wake dhiraa nane, kwa mfano wa mkono wa mtu).
Publicidade