Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

138 resultados encontrados

  1. Isaías 44

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 44
    Mostrando versículos 15–28 de 28

    15Ni kuni ya binadamu:yeye huchukua baadhi yake na kuota moto,huwasha moto na kuoka mkate.Lakini pia huutumia kumtengeneza mungu na akamwabudu,huitengeneza sanamu na kuisujudia.

    17Mabaki yake hutengeneza mungu, sanamu yake;yeye huisujudia na kuiabudu.Huiomba na kusema,"Niokoe; wewe ni mungu wangu."

    28nisemaye kuhusu Koreshi, ‘Yeye ni mchungaji wangu,naye atatimiza yote yanipendezayo;atauambia Yerusalemu, "Ukajengwe tena,"na kuhusu Hekalu, "Misingi yake na iwekwe." ’

  2. Êxodo 22

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 22
    Mostrando versículos 27–31 de 31

    27kwa kuwa vazi lake ndilo pekee alilo nalo la kumfunika mwili wake. Ni nini kingine atajifunika nacho? Atakaponililia, nitasikia, kwa kuwa nina huruma.

    28"Usimkufuru Mungu au kumlaani mtawala wa watu wako.

    31"Ninyi mtakuwa watu wangu watakatifu. Kwa hiyo msile nyama ya mnyama aliyeraruliwa na wanyama pori; mtupieni mbwa.

  3. 2 Crônicas 1

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 3–16 de 17

    3Naye Sulemani na kusanyiko lote wakakwea hadi mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni. Hema la Kukutania la Mungu, ambalo Musa mtumishi wa Mwenyezi Mungu alikuwa amelitengeneza huko jangwani, lilikuwa Gibeoni.

    12kwa hiyo utapewa hekima na maarifa. Tena nitakupa pia mali, utajiri na heshima, ambavyo hakuna mfalme yeyote kabla yako amewahi kuwa navyo, na hakuna yeyote baada yako atakayekuwa navyo."

    16Farasi wa Sulemani waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue1:16 yaani Kilikia. Wafanyabiashara wa mfalme waliwanunua kutoka Kue.

  4. Ezequiel 7

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 7
    Mostrando versículos 1–6 de 27

    1Neno la Mwenyezi Mungu likanijia kusema:

    5"Hili ndilo asemalo Bwana Mungu Mwenyezi:" ‘Maafa! Maafa ambayo hayajasikiwa!Tazama, yanakuja!

    6Mwisho umewadia!Mwisho umewadia!Umejiinua wenyewe dhidi yenu.Tazama, umewadia!

  5. Jó 3

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 11–23 de 26

    11"Kwa nini sikuangamia wakati wa kuzaliwa?Kwa nini sikufa nilipokuwa ninatoka tumboni?

    12Kwa nini pakawa na magoti ya kunipokeana matiti ili nipate kunyonyeshwa?

    23Kwa nini uhai hupewa mtuambaye njia yake imefichika,ambaye Mungu amemzingira?

  6. 1 Crônicas 29

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 29
    Mostrando versículos 11–17 de 30

    11Ukuu na uweza, ni vyako, Ee Mwenyezi Mungu,na utukufu na enzi na uzuri,kwa kuwa kila kilichoko mbinguni na dunianini chako wewe.Ee Mwenyezi Mungu, ufalme ni wako;umetukuzwa kuwa mkuu juu ya yote.

    15Sisi ni wageni na wapitaji machoni pako, kama walivyokuwa baba zetu wote. Siku zetu duniani ni kama kivuli, bila tumaini.

    17Ninajua, Mungu wangu, kwamba wewe huujaribu moyo na unapendezwa na unyofu. Vitu hivi vyote nimetoa kwa hiari na kwa moyo mnyofu. Nami sasa nimeona kwa furaha jinsi watu wako walio hapa kwa hiari yao walivyokutolea wewe.

  7. 2 Reis 5

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 7–22 de 27

    7Mara mfalme wa Israeli alipomaliza kuisoma ile barua, akararua mavazi yake na kusema, "Je, mimi ni Mungu? Je, mimi naweza kuua na kufufua tena? Kwa nini huyu mtu anamtuma mtu ili mimi nipate kumponya ukoma wake? Tazama jinsi anavyotafuta kuanzisha ugomvi nami!"

    12Je, Abana na Farpari, mito ya Dameski, si bora kuliko mito yoyote ya Israeli? Je, nisingeweza kuoga ndani ya hiyo mito na kutakasika?" Basi akageuka na kuondoka kwa hasira kuu.

    22Gehazi akajibu, "Mambo yote ni sawa. Bwana wangu amenituma nikuambie, ‘Vijana wawili kutoka kwa wana wa manabii wamenijia kutoka nchi ya vilima ya Efraimu. Tafadhali wape talanta ya fedha5:22 Talanta ni sawa na kilo 34. na mavazi mawili.’ "

  8. Salmos 89

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 89
    Mostrando versículos 46–52 de 52

    46Hata lini, Ee Mwenyezi Mungu? Utajificha milele?Ghadhabu yako itawaka kama moto hata lini?

    47Kumbuka jinsi maisha yangu yanavyopita haraka.Ni kwa ubatili kiasi gani umemuumba mwanadamu!

    52Ahimidiwe Mwenyezi Mungu milele!Amen na Amen.

  9. Provérbios 2

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 2–12 de 22

    2kutega sikio lako kwenye hekimana kuweka moyo wako katika ufahamu,

    5ndipo utakapoelewa kumcha Mwenyezi Munguna kupata maarifa ya Mungu.

    12Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu,kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,

  10. Gênesis 44

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 44
    Mostrando versículos 6–31 de 34

    6Alipowafikia, akarudia maneno haya kwao.

    19Bwana wangu aliwauliza watumishi wake, ‘Mnaye baba au ndugu?’

    31akiona kijana hayupo nasi, atakufa. Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi cha baba yetu kaburini kwa huzuni.

  11. Êxodo 27

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 27
    Mostrando versículos 2–19 de 21

    2Tengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu ziwe zimeungana, na ufunike madhabahu kwa shaba.

    5Weka wavu huo chini ya ukingo wa madhabahu ili ufikie nusu ya kimo cha madhabahu.

    19Vyombo vingine vyote vinavyotumika katika maskani ya Mungu kwa shughuli yoyote, pamoja na vigingi vyote na hata vile vya ua, vitakuwa vya shaba.

  12. Isaías 55

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 55
    Mostrando versículos 2–7 de 13

    2Kwa nini kutumia fedha kwa kitu ambacho si chakula,na kutaabikia kitu kisichoshibisha?Sikilizeni, nisikilizeni mimi na mle kilicho kizuri,nazo nafsi zenu zitafurahia utajiri wa unono.

    6Mtafuteni Mwenyezi Mungu maadamu anapatikana;mwiteni maadamu yu karibu.

    7Mtu mwovu na aiache njia yake,na mtu mbaya na ayaache mawazo yake.Yeye na amrudie Mwenyezi Mungu, naye atamrehemu,arudi kwa Mungu wetu, kwa kuwa atamsamehe bure kabisa.

  13. 2 Crônicas 24

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 24
    Mostrando versículos 2–8 de 27

    2Yoashi akafanya yaliyo mema machoni pa Mwenyezi Mungu miaka yote ya Yehoyada kuhani.

    4Baada ya muda, Yoashi akaamua kukarabati Hekalu la Mwenyezi Mungu.

    8Kwa amri ya mfalme, likatengenezwa kasha, nalo likawekwa nje kwenye lango la Hekalu la Mwenyezi Mungu.

  14. Jó 42

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 42
    Mostrando versículos 1–13 de 17

    1Ndipo Ayubu akamjibu Mwenyezi Mungu:

    3Uliuliza, ‘Ni nani huyuafichaye mashauri yangubila maarifa?’Hakika nilisema mambo nisiyoyaelewa,mambo ya ajabu mnokwangu mimi kuyajua.

    13Tena alikuwa na wana saba na binti watatu.

  15. Salmos 44

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 44
    Mostrando versículos 8–23 de 26

    8Katika Mungu wetu tunajivuna mchana kutwa,nasi tutalisifu jina lako milele.

    21je, si Mungu angegundua hili,kwa kuwa anazijua siri za moyo?

    23Amka, Ee Bwana! Kwa nini unalala?Zinduka! Usitukatae milele.

  16. Provérbios 17

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 17
    Mostrando versículos 10–22 de 28

    10Karipio humwingia sana mtu mwenye kutambuakuliko mapigo mia kwa mpumbavu.

    17Rafiki hupenda wakati wotenaye ndugu amezaliwa kwa ajili ya wakati wa shida.

    22Moyo wenye furaha ni dawa nzuri,bali roho iliyopondeka hukausha mifupa.

  17. Gênesis 42

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 42
    Mostrando versículos 11–32 de 38

    11Sisi sote ni wana wa baba mmoja. Watumishi wako ni watu waaminifu, wala sio wapelelezi."

    16Tumeni mmoja wenu akamlete huyo ndugu yenu. Wengine mtawekwa gerezani, ili maneno yenu yajaribiwe kuona kama mnasema kweli. La sivyo, hakika kama Farao aishivyo ninyi ni wapelelezi!"

    32Tulizaliwa ndugu kumi na wawili, wana wa baba mmoja. Mmoja alikufa, na mdogo wetu wa mwisho yupo na baba yetu huko Kanaani.’

  18. Êxodo 31

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 31
    Mostrando versículos 1–12 de 18

    1Ndipo Mwenyezi Mungu akamwambia Musa,

    7"Hema la Kukutania,Sanduku la Ushuhuda pamoja na kiti cha rehema juu yake,pia na vifaa vyote vya kwenye hema:

    12Kisha Mwenyezi Mungu akamwambia Musa,

  19. Isaías 39

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 39
    Mostrando versículos 4–6 de 8

    4Nabii akauliza, "Waliona nini katika jumba lako la kifalme?"Hezekia akajibu, "Waliona kila kitu katika jumba langu. Hakuna kitu katika hazina yangu ambacho sikuwaonesha."

    6Hakika wakati unakuja ambapo vitu vyote katika jumba lako la kifalme, na vyote ambavyo baba zako waliweka akiba hadi siku hii, vitachukuliwa kwenda Babeli. Hakuna chochote kitakachosalia, asema Mwenyezi Mungu.

  20. Salmos 146

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 146
    Mostrando versículos 1–10 de 10

    1Msifuni Mwenyezi Mungu!146:1 kwa Kiebrania ni Hallelu Yah; pia 146:10.Ee nafsi yangu, umsifu Mwenyezi Mungu,

    5Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,ambaye tumaini lake ni katika Mwenyezi Mungu, Mungu wake,

    10Mwenyezi Mungu atamiliki milele,Mungu wako, ee Sayuni,kwa vizazi vyote.Msifuni Mwenyezi Mungu.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo