15Ni kuni ya binadamu:yeye huchukua baadhi yake na kuota moto,huwasha moto na kuoka mkate.Lakini pia huutumia kumtengeneza mungu na akamwabudu,huitengeneza sanamu na kuisujudia.
17Mabaki yake hutengeneza mungu, sanamu yake;yeye huisujudia na kuiabudu.Huiomba na kusema,"Niokoe; wewe ni mungu wangu."
28nisemaye kuhusu Koreshi, ‘Yeye ni mchungaji wangu,naye atatimiza yote yanipendezayo;atauambia Yerusalemu, "Ukajengwe tena,"na kuhusu Hekalu, "Misingi yake na iwekwe." ’