Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

116 resultados encontrados

  1. 1 Crônicas 29

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 29
    Mostrando versículo 2 de 30

    2Kwa uwezo wangu wote nimetenga mali kwa ajili ya Hekalu la Mungu wangu: dhahabu kwa kazi za dhahabu, fedha kwa ajili ya fedha, shaba kwa kazi za shaba, chuma kwa kazi za chuma na miti kwa kazi za miti, vivyo hivyo vito vya shohamu kwa ajili ya kutia kwenye vijalizo, almasi, mawe ya rangi mbalimbali, aina zote za vito vya thamani na marumaru; haya yote kwa wingi mno.

  2. Provérbios 8

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 8
    Mostrando versículo 10 de 36

    10Chagua mafundisho yangu badala ya fedha,maarifa badala ya dhahabu safi,

  3. Gênesis 13

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículo 2 de 18

    2Wakati huo Abramu alikuwa tajiri sana wa mifugo, fedha na dhahabu.

  4. Salmos 115

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 115
    Mostrando versículo 4 de 18

    4Lakini sanamu zao ni za fedha na dhahabu,zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.

  5. Êxodo 31

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 31
    Mostrando versículo 4 de 18

    4ili kubuni michoro ya kupendeza katika ufundi wa dhahabu, fedha na shaba,

  6. Isaías 39

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 39
    Mostrando versículo 2 de 8

    2Hezekia akawapokea wale wajumbe kwa furaha na kuwaonesha vitu vile vilivyokuwa katika ghala zake: yaani fedha, dhahabu, vikolezo na mafuta safi, ghala la silaha lote, na kila kitu kilichokuwa katika hazina yake. Hapakuwa na kitu katika jumba lake la kifalme au katika ufalme wake wote ambacho Hezekia hakuwaonesha.

  7. Provérbios 7

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 7
    Mostrando versículo 20 de 27

    20Amechukua mkoba uliojazwa fedhana hatakuwa nyumbani karibuni."

  8. Gênesis 47

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 47
    Mostrando versículo 14 de 31

    14Yusufu akakusanya fedha zote zilizopatikana kutoka mauzo ya nafaka huko Misri na Kanaani, akazileta kwenye jumba la kifalme la Farao.

  9. Êxodo 26

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 26
    Mostrando versículo 19 de 37

    19kisha tengeneza vitako arobaini vya fedha vya kuweka chini ya hiyo mihimili, vitako viwili kwa kila mhimili, kimoja chini ya kila ulimi.

  10. Salmos 66

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 66
    Mostrando versículo 10 de 20

    10Ee Mungu, wewe ulitujaribu,ukatusafisha kama fedha.

  11. Isaías 46

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 46
    Mostrando versículo 6 de 13

    6Wengine humwaga dhahabu kutoka mifuko yao,na kupima fedha kwenye mizani;huajiri mfua dhahabu kutengeneza mungu,kisha huisujudia na kuiabudu.

  12. Isaías 31

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 31
    Mostrando versículo 7 de 9

    7Kwa kuwa katika siku ile kila mmoja wenu atazikataa sanamu za fedha na za dhahabu zilizotengenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.

  13. Salmos 135

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 135
    Mostrando versículo 15 de 21

    15Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.

  14. Isaías 2

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículo 7 de 22

    7Nchi yao imejaa fedha na dhahabu,hakuna mwisho wa hazina zao.Nchi yao imejaa farasi,hakuna mwisho wa magari yao ya vita.

  15. Isaías 52

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 52
    Mostrando versículo 3 de 15

    3Kwa kuwa hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu:"Mliuzwa pasipo malipo,nanyi mtakombolewa bila fedha."

  16. Isaías 60

    Toleo Wazi Neno: Maandiko Matakatifu
    Capítulo 60
    Mostrando versículo 9 de 22

    9Hakika visiwa vinanitazama;merikebu za Tarshishi60:9 au: za biashara(taz. 1 Wafalme 10:22; 22:48; 2 Nyakati 9:21; 20:36; Isaya 2:16). ndizo zinazotangulia,zikiwaleta wana wenu kutoka mbali,wakiwa na fedha na dhahabu zao,kwa heshima ya Mwenyezi Mungu, Mungu wenu,yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli,kwa maana amekujalia utukufu.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo