14 Tangazeni saumu takatifu;
liiteni kusanyiko takatifu.
Waiteni wazee
na wote wanaoishi katika nchi
waende katika nyumba ya Mwenyezi Mungu, Mungu wenu,
wakamlilie Mwenyezi Mungu.
14 Tangazeni saumu takatifu;
liiteni kusanyiko takatifu.
Waiteni wazee
na wote wanaoishi katika nchi
waende katika nyumba ya Mwenyezi Mungu, Mungu wenu,
wakamlilie Mwenyezi Mungu.