Publicidade

Provérbios 6

32 Lakini mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa;

yeyote afanyaye hivyo hujiangamiza mwenyewe.

33 Mapigo na aibu ni fungu lake

na aibu yake haitafutika kamwe;

34 kwa maana wivu huamsha ghadhabu ya mume,

naye hataonesha huruma alipizapo kisasi.

35 Hatakubali fidia yoyote;

atakataa malipo, hata yakiwa makubwa kiasi gani.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-