34 Zab 106:1;107:1;118:1Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema;
Kwa maana fadhili zake ni za milele.
35 Zab 106:47,48Nanyi semeni,
Ee Mungu wa wokovu wetu, utuokoe,
Utukusanye kwa kututoa katika mataifa,
Tulishukuru jina lako takatifu,
Tuzifanyie shangwe sifa zako.
36 1 Fal 8:15;Zab 72:18,19;Kum 27:15;Neh 8:6Na ahimidiwe BWANA, Mungu wa Israeli, tangu milele hata milele. Na watu wote wakasema, Amina; wakamhimidi BWANA.