8Farao akamwuliza Yakobo, Je! Siku za kuishi kwako ni ngapi?
10Mwa 47:7 Yakobo akambariki Farao, akatoka mbele ya Farao.
19Kwa nini tufe mbele ya macho yako, sisi na nchi yetu? Utununue sisi na nchi yetu kwa chakula, na sisi na nchi yetu tutakuwa watumwa wa Farao; kisha utupe mbegu, tuishi wala tusife, wala nchi yetu isipotee.