Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

118 resultados encontrados

  1. Gênesis 47

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 47
    Mostrando versículos 8–19 de 31

    8Farao akamwuliza Yakobo, Je! Siku za kuishi kwako ni ngapi?

    10Mwa 47:7 Yakobo akambariki Farao, akatoka mbele ya Farao.

    19Kwa nini tufe mbele ya macho yako, sisi na nchi yetu? Utununue sisi na nchi yetu kwa chakula, na sisi na nchi yetu tutakuwa watumwa wa Farao; kisha utupe mbegu, tuishi wala tusife, wala nchi yetu isipotee.

  2. 2 Crônicas 9

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 9
    Mostrando versículos 3–26 de 31

    3Naye malkia wa Sheba alipoona hekima ya Sulemani, na nyumba aliyoijenga,

    7Heri watu wako, na heri hawa watumishi wako, wasimamao mbele yako sikuzote, wakisikia hekima yako.

    261 Fal 4:21;Mwa 15:18;Zab 72:8 Akatawala juu ya wafalme wote toka Mto9:26 Mto ni ‘Frati’. hadi nchi ya Wafilisti, na hadi mpaka wa Misri.

  3. 1 Crônicas 22

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 22
    Mostrando versículos 11–18 de 19

    11Rum 8:31 Sasa mwanangu, BWANA na awe pamoja nawe; ukafanikiwe, na kuijenga nyumba ya BWANA, Mungu wako, kama alivyonena kuhusu habari zako.

    18Kum 12:10;Yos 22:4;2 Sam 7:1;1 Nya 23:25 Je! Si BWANA, Mungu wenu, aliye pamoja nanyi? Na kuwapa amani pande zote? Kwa kuwa wenyeji wa nchi amewatia mkononi mwangu; nayo nchi imetiishwa mbele za BWANA, na mbele ya watu wake.

  4. Provérbios 2

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 4–16 de 22

    4Zab 19:10;Mit 3:14,15;Mt 6:19-21 Ukiutafuta kama fedha,Na kuutafutia kama hazina iliyositirika;

    7Zab 84:11 Huwawekea wanyofu akiba ya hekima kamili;Yeye ni ngao kwao waendao kwa ukamilifu;

    16Ili kuokoka na malaya,Naam, malaya mwenye kubembeleza kwa maneno yake;

  5. Isaías 31

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 31
    Mostrando versículos 3–6 de 9

    3Zab 9:20;Eze 28:9 Basi Wamisri ni wanadamu wala si Mungu, na farasi wao ni nyama wala si roho; na BWANA atakaponyosha mkono wake, yeye asaidiaye atajikwaa, na yeye asaidiwaye ataanguka, nao wataangamia wote pamoja.

    6Hos 9:9 Mwelekeeni yeye mliyemwasi sana, enyi wana wa Israeli.

  6. Gênesis 42

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 42
    Mostrando versículos 3–32 de 38

    3Basi ndugu kumi wa Yusufu wakashuka Misri ili wanunue nafaka.

    16Mtumeni mmoja wenu, aende akamlete ndugu yenu, na ninyi mtafungwa jela, hadi maneno yenu yahakikishwe kama mna kweli ninyi; ikiwa sivyo, aishivyo Farao hakika ninyi ni wapelelezi.

    32Sisi tu ndugu kumi na wawili, wana wa baba yetu. Mmoja hayuko, na mdogo wetu yuko pamoja na baba yetu leo katika nchi ya Kanaani.

  7. Salmos 12

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 12
    Mostrando versículos 1–6 de 8

    1Isa 57:1 Tuokoe, ee BWANA, maana hamna tena amchaye MunguMaana waaminifu wametoweka katika wanadamu.

    3BWANA ataikata midomo yote ya kujipendekeza,Na ulimi unenao maneno ya kiburi;

    62 Sam 22:31;Zab 18:30;Mit 30:5 Maneno ya BWANA ni maneno safi,Ni fedha iliyojaribiwa kalibuni juu ya nchi;Iliyosafishwa mara saba.

  8. Provérbios 17

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 17
    Mostrando versículos 17–22 de 28

    17Rafiki hupenda sikuzote;Na ndugu amezaliwa kwa siku ya taabu.

    18Asiye na hekima hupeana mkono na mtu;Na kuwa mdhamini wa mtu mwingine.

    22Moyo uliochangamka ni dawa nzuri;Bali roho iliyopondeka huikausha mifupa.

  9. Isaías 52

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 52
    Mostrando versículos 2–11 de 15

    2Zek 2:7 Jikung’ute mavumbi; uondoke,Uketi, Ee Yerusalemu;Jifungue vifungo vya shingo yako,Ee binti Sayuni uliyefungwa.

    8Sef 3:9 Sauti ya walinzi wako!Wanapaza sauti zao, wanaimba pamoja;Maana wataona jicho kwa jicho,Jinsi BWANA arejeavyo Sayuni.

    11Yer 50:8;Ufu 18:4;2 Kor 6:17 Nendeni zenu, nendeni zenu, tokeni huko, msiguse kitu kichafu; tokeni kati yake; iweni safi ninyi mnaochukua vyombo vya BWANA.

  10. Salmos 115

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 115
    Mostrando versículos 11–14 de 18

    11Enyi mmchao BWANA, mtumainini BWANA;Yeye ni msaada wao na ngao yao.

    12Efe 1:3 BWANA ametukumbuka,Naye atatubariki sisi.Ataubariki mlango wa Israeli,Ataubariki mlango wa Haruni,

    14BWANA na awaongeze ninyi,Ninyi na watoto wenu.

  11. Provérbios 25

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 25
    Mostrando versículos 19–28 de 28

    19Ayu 6:14-20;2 Tim 4:16 Kumtumaini asiye mwaminifu wakati wa taabuNi kama jino lililovunjika, au mguu ulioteguka.

    25Kama vile maji ya baridi kwa mtu mwenye kiu,Ndivyo ilivyo habari njema itokayo katika nchi ya mbali.

    28Asiyetawala roho yakeNi mfano wa mji uliobomolewa, usio na kuta.

  12. Isaías 2

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 16–22 de 22

    16na juu ya merikebu zote za Tarshishi, na juu ya kila taswira ipendezayo.

    18Nazo sanamu zitatoweka kabisa.

    22Mit 23:4 Mwacheni mwanadamu ambaye pumzi yake iko katika mianzi ya pua yake; kwa maana wanafaa kitu gani?

  13. Salmos 66

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 66
    Mostrando versículos 1–19 de 20

    1Mpigie Mungu kelele za shangwe, nchi yote,

    15Kafara za vinono nitakutolea,Pamoja na fukizo la kondoo dume,Nitatoa ng’ombe pamoja na mbuzi.

    19Hakika Mungu amesikia;Ameisikiliza sauti ya maombi yangu.

  14. Provérbios 8

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 8
    Mostrando versículos 1–20 de 36

    1Mit 1:20-21;9:3;1 Kor 1:24 Je! Hekima halii?Ufahamu hatoi sauti yake?

    13Mit 16:6;4:24;Zek 8:17;1 Pet 5:5 Kumcha BWANA ni kuchukia uovu;Kiburi na majivuno, na njia mbovu,Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.

    20Natembea katika njia ya haki,Katikati ya mapito ya hukumu.

  15. Salmos 135

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 135
    Mostrando versículos 1–20 de 21

    1Haleluya.Lisifuni jina la BWANA,Enyi watumishi wa BWANA, sifuni.

    19Enyi mlango wa Israeli, mhimidini BWANA;Enyi mlango wa Haruni, mhimidini BWANA;

    20Enyi mlango wa Lawi, mhimidini BWANA;Ninyi mnaomcha BWANA, mhimidini BWANA.

  16. Provérbios 7

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 7
    Mostrando versículos 3–25 de 27

    3Kum 6:8;Mit 3:3;Isa 30:8;Yer 17:1;2 Kor 3:3 Zifunge katika vidole vyako;Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.

    17Nimetia kitanda changu manukato,Manemane na udi na mdalasini.

    25Moyo wako usizielekee njia zake,Wala usipotee katika mapito yake.

  17. Salmos 68

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 68
    Mostrando versículos 7–28 de 35

    7Hab 3:13 Ee Mungu, ulipowaongoza watu wako,Ulipopita nyikani,

    16Enyi milima mirefu, kwani kuutazama kwa wivuMlima alioutamani Mungu akae juu yake?Naam, BWANA atakaa juu yake milele.

    28Ee Mungu, uziamuru nguvu zako;Ee Mungu, uwe hodari uliyetufanyia makuu.

  18. Provérbios 26

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 26
    Mostrando versículos 3–16 de 28

    3Mjeledi kwa farasi, lijamu kwa punda,Na fimbo kwa mgongo wa mpumbavu.

    12Je! Wamwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe?Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.

    16Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake,Kuliko watu saba wawezao kutoa sababu.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo