19 Mk 13:35;Zab 62:8;Isa 51:20;Omb 4:1;Nah 3:10Inuka, ulalamike usiku,
Mwanzo wa mikesha yake;
Mimina moyo wako kama maji usoni pa Bwana;
Umwinulie mikono yako;
Kwa uhai wa watoto wako wachanga wazimiao kwa njaa,
Mwanzo wa kila njia kuu.
19 Mk 13:35;Zab 62:8;Isa 51:20;Omb 4:1;Nah 3:10Inuka, ulalamike usiku,
Mwanzo wa mikesha yake;
Mimina moyo wako kama maji usoni pa Bwana;
Umwinulie mikono yako;
Kwa uhai wa watoto wako wachanga wazimiao kwa njaa,
Mwanzo wa kila njia kuu.