31 Kwa kuwa Bwana hatamtupa mtu
Hata milele.
32 Maana ajapomhuzunisha atamrehemu,
Kwa kadiri ya wingi wa huruma zake.
33 Maana moyo wake hapendi kuwatesa wanadamu.
Wala kuwahuzunisha.
31 Kwa kuwa Bwana hatamtupa mtu
Hata milele.
32 Maana ajapomhuzunisha atamrehemu,
Kwa kadiri ya wingi wa huruma zake.
33 Maana moyo wake hapendi kuwatesa wanadamu.
Wala kuwahuzunisha.