2 Roho wa Mwenyezi Mungu atakaa juu yake,
Roho wa hekima na wa ufahamu,
Roho wa shauri na wa uweza,
Roho wa maarifa na wa kumcha Mwenyezi Mungu
3 naye atafurahia kumcha Mwenyezi Mungu.
Hatahukumu kwa yale ayaonayo kwa macho yake,
wala kuamua kwa yale ayasikiayo kwa masikio yake,