2 Hakika Mungu ni wokovu wangu;
nitamtumaini wala sitaogopa.
Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu,
ni nguvu zangu na wimbo wangu;
amekuwa wokovu wangu."
2 Hakika Mungu ni wokovu wangu;
nitamtumaini wala sitaogopa.
Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu,
ni nguvu zangu na wimbo wangu;
amekuwa wokovu wangu."