3 Utamlinda katika amani kamilifu
yeye ambaye moyo wake ni thabiti
kwa sababu anakutumaini wewe.
4 Mtumaini Mwenyezi Mungu milele,
kwa kuwa Mwenyezi Mungu,
Mwenyezi Mungu,
ni Mwamba wa milele.
3 Utamlinda katika amani kamilifu
yeye ambaye moyo wake ni thabiti
kwa sababu anakutumaini wewe.
4 Mtumaini Mwenyezi Mungu milele,
kwa kuwa Mwenyezi Mungu,
Mwenyezi Mungu,
ni Mwamba wa milele.