3 Mimi, Mwenyezi Mungu, ninalitunza,
ninalinywesha maji mfululizo.
Ninalichunga usiku na mchana
ili mtu yeyote asije akalidhuru.
3 Mimi, Mwenyezi Mungu, ninalitunza,
ninalinywesha maji mfululizo.
Ninalichunga usiku na mchana
ili mtu yeyote asije akalidhuru.