7 Kwa sababu Bwana Mungu Mwenyezi ananisaidia,
sitatahayarika.
Kwa hiyo nimekaza uso wangu kama gumegume,
nami ninajua sitaaibika.
7 Kwa sababu Bwana Mungu Mwenyezi ananisaidia,
sitatahayarika.
Kwa hiyo nimekaza uso wangu kama gumegume,
nami ninajua sitaaibika.