Publicidade

Isaías 53

4 Hakika alichukua udhaifu wetu

na akajitwika huzuni zetu;

tulidhania kuwa ameadhibiwa na Mungu,

naye akapigwa sana na kujeruhiwa.

5 Lakini alijeruhiwa kwa ajili ya makosa yetu,

alichubuliwa kwa ajili ya maovu yetu;

adhabu iliyotuletea sisi amani ilikuwa juu yake,

na kwa majeraha yake sisi tumepona.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-