Pular para o conteúdo
Publicidade

Isaya 53

4 Hakika alichukua udhaifu wetu

na akajitwika huzuni zetu;

tulidhania kuwa ameadhibiwa na Mungu,

naye akapigwa sana na kujeruhiwa.

5 Lakini alijeruhiwa kwa ajili ya makosa yetu,

alichubuliwa kwa ajili ya maovu yetu;

adhabu iliyotuletea sisi amani ilikuwa juu yake,

na kwa majeraha yake sisi tumepona.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também