6 Sisi sote, kama kondoo, tumepotea,
kila mmoja wetu amegeukia njia yake mwenyewe,
naye Mwenyezi Mungu aliweka juu yake
maovu yetu sisi sote.
6 Sisi sote, kama kondoo, tumepotea,
kila mmoja wetu amegeukia njia yake mwenyewe,
naye Mwenyezi Mungu aliweka juu yake
maovu yetu sisi sote.