17 Hakuna silaha itakayofanyizwa dhidi yako
itakayofanikiwa,
nawe utauthibitisha kuwa mwongo
kila ulimi utakaokushtaki.
Huu ndio urithi wa watumishi wa Mwenyezi Mungu
na hii ndiyo haki yao inayotoka kwangu,"
asema Mwenyezi Mungu.
17 Hakuna silaha itakayofanyizwa dhidi yako
itakayofanikiwa,
nawe utauthibitisha kuwa mwongo
kila ulimi utakaokushtaki.
Huu ndio urithi wa watumishi wa Mwenyezi Mungu
na hii ndiyo haki yao inayotoka kwangu,"
asema Mwenyezi Mungu.