3 Nao walikuwa wakiitana kila mmoja na mwenzake:
"Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu
ni Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni;
dunia yote imejaa utukufu wake."
3 Nao walikuwa wakiitana kila mmoja na mwenzake:
"Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu
ni Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni;
dunia yote imejaa utukufu wake."