16 Lakini wewe ni Baba yetu,
ingawa Ibrahimu hatufahamu sisi
wala Israeli hatutambui;
wewe, Ee Mwenyezi Mungu, ndiwe Baba yetu,
Mkombozi wetu tangu zamani za kale ndilo jina lako.
16 Lakini wewe ni Baba yetu,
ingawa Ibrahimu hatufahamu sisi
wala Israeli hatutambui;
wewe, Ee Mwenyezi Mungu, ndiwe Baba yetu,
Mkombozi wetu tangu zamani za kale ndilo jina lako.