3 Umelikuza taifa,
na kuzidisha furaha yao,
wanafurahia mbele zako,
kama watu wanavyofurahia wakati wa mavuno,
kama mashujaa wanavyofurahia
wakigawanya nyara.
3 Umelikuza taifa,
na kuzidisha furaha yao,
wanafurahia mbele zako,
kama watu wanavyofurahia wakati wa mavuno,
kama mashujaa wanavyofurahia
wakigawanya nyara.