Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "salvação"

42 resultados encontrados

  1. Romanos 16

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 16–24 de 27

    161 Kor 16:20;1 Pet 5:14 Salimianeni kwa busu takatifu. Makanisa yote ya Kristo yawasalimu.

    20Rum 15:33;Mwa 3:15 Naye Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi.Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na iwe pamoja nanyi. [Amina.]

    24Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na iwe pamoja nanyi nyote. Amina.]

  2. 1 Coríntios 15

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 15
    Mostrando versículos 26–43 de 58

    26Ufu 20:14;21:4 Adui wa mwisho atakayebatilishwa ni mauti.

    36Yn 12:24 Ewe mpumbavu! Uipandayo haihuiki, isipokufa;

    43Flp 3:20,21 hupandwa katika aibu; hufufuliwa katika fahari; hupandwa katika udhaifu; hufufuliwa katika nguvu;

  3. Ezequiel 32

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 32
    Mostrando versículos 11–20 de 32

    11Yer 46:26 Maana Bwana MUNGU asema hivi; Upanga wa mfalme wa Babeli utakujia.

    19Eze 31:2;28:10 Umemshinda nani kwa uzuri? Shuka, ukalazwe pamoja na wasiotahiriwa.

    20Wataanguka kati ya watu waliouawa kwa upanga; ametolewa apigwe na upanga; mvuteni aende mbali pamoja na watu wake wote jamii.

  4. Êxodo 20

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 20
    Mostrando versículos 8–15 de 26

    8Kut 16:23-30;31:12-14;Kum 5:12 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.

    13Mwa 9:6;Law 24:17;Mt 5:21;19:18;Mk 10:19;Lk 18:20;Rum 13:9;Yak 2:11 Usiue.

    15Law 19:11;1 The 4:6;Mt 19:18;Mk 10:19;Lk 18:20;Rum 13:9 Usiibe.

  5. Salmos 79

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 79
    Mostrando versículos 9–11 de 13

    9Yos 7:0;Yer 14:7 Ee Mungu wa wokovu wetu, utusaidie,Kwa ajili ya utukufu wa jina lako.Utuokoe, utusamehe dhambi zetu,Kwa ajili ya jina lako.

    10Kwa nini mataifa yaseme,Yuko wapi Mungu wao?Kisasi cha damu ya watumishi wako iliyomwagikaKijulike kati ya mataifa machoni petu.

    11Hes 14:17 Kuugua kwake aliyefungwaNa kuingie mbele zako.Kwa kadiri ya uweza wa mkono wakoUwahifadhi waliohukumiwa kufa.

  6. Deuteronômio 5

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 17–30 de 33

    17Mwa 9:6;Law 24:17;Mt 5:21;19:18;Mk 10:19;Lk 18:20;Rum 13:9;Yak 2:11 Usiue.

    19Law 19:11;Mt 19:18;Mk 10:19;Lk 18:20;Rum 13:9 Wala usiibe.

    30Enda uwaambie, Rudini hemani mwenu.

  7. Filipenses 4

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 5–21 de 23

    5Ebr 10:37;Yak 5:8,9 Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana yuko karibu.

    20Sasa atukuzwe Mungu, Baba yetu, milele na milele. Amina.

    21Mnisalimie kila mtakatifu katika Kristo Yesu. Ndugu walio pamoja nami wanawasalimu.

  8. Salmos 150

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 150
    Mostrando versículos 1–6 de 6

    1Haleluya.Msifuni Mungu katika patakatifu pake;Msifuni katika anga la uweza wake.

    5Msifuni kwa matoazi yaliayo;Msifuni kwa matoazi yavumayo sana.

    6Ufu 5:13 Kila mwenye pumzi na amsifu BWANA.Haleluya.

  9. 1 Crônicas 1

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 18–25 de 54

    18Na Arfaksadi akamzaa Sala, na Sala akamzaa Eberi.

    24Mwa 11:10;Lk 3:36 Shemu, na Arfaksadi, na Sala;

    25Mwa 11:15;Hes 24:24;Lk 3:35 na Eberi, na Pelegi, na Reu;

  10. Romanos 6

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 6
    Mostrando versículos 1–3 de 23

    1Rum 3:5-8 Tuseme nini basi? Tudumu katika dhambi ili neema izidi kuwa nyingi?

    21 Pet 4:1 Hasha! Sisi tulioifia dhambi tutaishije tena katika dhambi?

    3Gal 3:27 Hamfahamu ya kuwa sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake?

  11. 1 Coríntios 6

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 6
    Mostrando versículos 10–20 de 20

    10Gal 5:19-21 wala wezi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.

    151 Kor 12:27 Je! Hamjui ya kuwa miili yenu ni viungo vya Kristo? Basi nivitwae viungo vya Kristo na kuvifanya viungo vya kahaba? La hasha!

    201 Pet 1:18,19;1 Kor 7:23;Flp 1:20 maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika miili yenu.

  12. Números 28

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 28
    Mostrando versículos 10–30 de 31

    10Eze 46:4 hii ndiyo sadaka ya kuteketezwa ya kila Sabato, zaidi ya hiyo sadaka ya kuteketezwa ya sikuzote, pamoja na sadaka yake ya kinywaji.

    23Mtasongeza wanyama hao zaidi ya hiyo sadaka ya kuteketezwa ya asubuhi, iliyo sadaka ya kuteketezwa ya sikuzote.

    30na mbuzi dume mmoja, ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.

  13. 1 Crônicas 11

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 11
    Mostrando versículos 29–36 de 47

    29Sibekai Mhushathi, Salmoni Mwahohi;

    33Azmawethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni;

    36Mmaakathi, Ahia Mpeloni;

  14. 2 Coríntios 13

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 4–12 de 13

    4Flp 2:7,8 Maana, alisulubiwa katika udhaifu, lakini anaishi kwa nguvu za Mungu. Maana sisi nasi tu dhaifu katika yeye; lakini tutaishi pamoja naye kwa uweza wa Mungu ulio kwenu.

    51 Kor 11:28 Jichunguzeni wenyewe muone kama mmekuwa katika imani; jithibitisheni wenyewe. Au hamjijui wenyewe, kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu? Isipokuwa iwe mmekataliwa.

    121 Kor 16:20 Salimianeni kwa busu takatifu. Watakatifu wote wanawasalimu.

  15. Cânticos 1

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 1–10 de 17

    11 Fal 4:32 Wimbo ulio bora, wa Sulemani.

    2Kubusu na anibusu kwa kinywa chake.Maana pendo lako lapita divai;

    10Eze 16:11 Mashavu yako ni mazuri kwa mashada,Shingo yako kwa mikufu ya vito.

  16. Neemias 10

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 2–25 de 39

    2Seraya, Azaria, Yeremia;

    3Pashuri, Amaria, Malkiya;

    25Rehumu, Hashabna, Maaseya;

  17. Provérbios 14

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 14
    Mostrando versículos 22–27 de 35

    22Je! Hawakosi wawazao mabaya?Bali fadhili na kweli zina wao wawazao mema.

    26Kumcha BWANA ni tumaini imara;Watoto wake watakuwa na kimbilio.

    27Mit 13:14 Kumcha BWANA ni chemchemi ya uzima,Ili kuepukana na tanzi za mauti.

  18. 1 Pedro 5

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 11–14 de 14

    11Uweza una yeye hata milele na milele. Amina.

    13Mdo 12:12,25;13:13;15:37-39;Kol 4:10;Flm 1:24;2 Tim 4:11 Mwenzenu mteule hapa Babeli awasalimu, na Marko mwanangu.

    141 Kor 16:20 Salimianeni kwa busu la upendo.Amani na iwe kwenu nyote, mlio katika Kristo. Amina.

  19. Josué 15

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 15
    Mostrando versículos 26–40 de 63

    26Amamu, Shema, Molada;

    29Baala, Iyimu, Esemu;

    40Kaboni, Lamasi, Kithilishi;

  20. Jonas 2

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 8–10 de 10

    82 Fal 17:15;Zab 31:6;Yer 10:8 Watu waangaliao mambo ya ubatili na uongoHujitenga na rehema zao wenyewe.

    9Zab 50:14;66:13-15;Hos 14:2;Ebr 13:15 Lakini mimi nitakutolea sadaka kwa sauti ya shukrani;Nitaziondoa nadhiri zangu.Wokovu hutoka kwa BWANA.

    10Yon 1:17;Mt 8:9 BWANA akasema na yule samaki, naye akamtapika Yona katika pwani.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo