161 Kor 16:20;1 Pet 5:14 Salimianeni kwa busu takatifu. Makanisa yote ya Kristo yawasalimu.
20Rum 15:33;Mwa 3:15 Naye Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi.Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na iwe pamoja nanyi. [Amina.]
24Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na iwe pamoja nanyi nyote. Amina.]