19 Sikia, mwanangu, uwe na hekima,
Na kuuongoza moyo wako katika njia njema.
20 Isa 5:22;Mt 24:49;Lk 21:34;Rum 13:13;Efe 5:18Usiwe miongoni mwao wanywao mvinyo;
Miongoni mwao walao nyama kwa pupa.
21 Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini,
Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu.
22 Efe 6:1Msikilize baba yako aliyekuzaa,
Wala usimdharau mama yako akiwa mzee.