1 Mwanangu, usiisahau sheria yangu,
Bali moyo wako uzishike amri zangu.
2 Maana zitakuongezea wingi wa siku.
Na miaka ya uzima, na amani.
1 Mwanangu, usiisahau sheria yangu,
Bali moyo wako uzishike amri zangu.
2 Maana zitakuongezea wingi wa siku.
Na miaka ya uzima, na amani.