3 Rehema na kweli zisiachane nawe;
Zifunge shingoni mwako;
Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.
4 Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri,
Mbele za Mungu na mbele ya mwanadamu.
3 Rehema na kweli zisiachane nawe;
Zifunge shingoni mwako;
Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.
4 Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri,
Mbele za Mungu na mbele ya mwanadamu.