31 Usimhusudu mtu mwenye ujeuri,
Wala usiichague mojawapo ya njia zake.
32 Maana mtu mjeuri ni chukizo kwa BWANA,
Bali siri yake ni pamoja na wanyofu.
31 Usimhusudu mtu mwenye ujeuri,
Wala usiichague mojawapo ya njia zake.
32 Maana mtu mjeuri ni chukizo kwa BWANA,
Bali siri yake ni pamoja na wanyofu.