Pular para o conteúdo
Publicidade

Provérbios 4

Ushauri wa mzazi

1 Zab 34:11;Mit 1:8Wanangu, yasikilizeni mausia ya baba yenu,

Tegeni masikio mpate kujua ufahamu.

2 Kwa kuwa nawapa mafundisho mazuri;

Msiiache sheria yangu.

3 2 Sam 12:24;1 Nya 29:1Maana nilikuwa mwana kwa baba yangu,

Mpole, mpenzi wa pekee wa mama yangu.

4 1 Nya 28:9;Efe 6:4Naye akanifundisha, akaniambia,

Moyo wako uyahifadhi maneno yangu;

Shika amri zangu ukaishi.

5 Jipatie hekima, jipatie ufahamu; usiusahau;

Wala usiyakatae maneno ya kinywa changu.

6 2 The 2:10Usimwache, naye atakusitiri;

Umpende, naye atakulinda.

Veja também