13 Mkamate sana elimu, usimwache aende zake;
Mshike, maana yeye ni uzima wako.
14 Usiingie katika njia ya waovu,
Wala usitembee katika njia ya wabaya.
13 Mkamate sana elimu, usimwache aende zake;
Mshike, maana yeye ni uzima wako.
14 Usiingie katika njia ya waovu,
Wala usitembee katika njia ya wabaya.