20 Mwanangu, sikiliza maneno yangu;
Tega sikio lako, uzisikie kauli zangu.
21 Zisiondoke machoni pako;
Uzihifadhi ndani ya moyo wako.
22 Maana ni uhai kwa wale wazipatao,
Na afya ya mwili wao wote.
20 Mwanangu, sikiliza maneno yangu;
Tega sikio lako, uzisikie kauli zangu.
21 Zisiondoke machoni pako;
Uzihifadhi ndani ya moyo wako.
22 Maana ni uhai kwa wale wazipatao,
Na afya ya mwili wao wote.
+581 estão orando agora.
Junte-se à corrente de oração.