18 Chemchemi yako ibarikiwe;
Nawe umfurahie mke wa ujana wako.
19 Ni ayala apendaye na paa apendezaye;
Matiti yake yakutoshe sikuzote;
Na kwa upendo wake ushangilie daima.
20 Mwanangu! Mbona unashangilia malaya,
Na kukikumbatia kifua cha mgeni?
18 Chemchemi yako ibarikiwe;
Nawe umfurahie mke wa ujana wako.
19 Ni ayala apendaye na paa apendezaye;
Matiti yake yakutoshe sikuzote;
Na kwa upendo wake ushangilie daima.
20 Mwanangu! Mbona unashangilia malaya,
Na kukikumbatia kifua cha mgeni?