Pular para o conteúdo
Publicidade

Provérbios 6

16 Kuna vitu sita anavyovichukia BWANA;

Naam, viko saba vilivyo chukizo kwake.

17 Zab 5:6;Mit 12:22;Hos 4:1,2;Yn 8:44;Mit 1:11;Isa 1:15Macho ya kiburi, ulimi wa uongo,

Na mikono imwagayo damu isiyo na hatia;

18 Mwa 6:5;Isa 59:7;Rum 3:15Moyo uwazao mawazo mabaya;

Miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu;

19 Zab 27:12Shahidi wa uongo asemaye uongo;

Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.

Veja também