32 Ayu 31:12;Ebr 13:4Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;
Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
33 Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima;
Wala fedheha yake haitafutika.
34 Maana wivu ni ghadhabu ya mtu;
Wala hatahurumia siku ya kujilipizia kisasi.
35 Hatakubali fidia yoyote;
Wala hatakuwa radhi, ujapomlipa vitu vingi.