6 Ayu 12:7Ewe mvivu, mwendee chungu,
Zitafakari njia zake ukapate hekima.
7 Kwa maana yeye hana kiongozi,
Wala msimamizi, wala mkuu,
8 Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua;
Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.
6 Ayu 12:7Ewe mvivu, mwendee chungu,
Zitafakari njia zake ukapate hekima.
7 Kwa maana yeye hana kiongozi,
Wala msimamizi, wala mkuu,
8 Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua;
Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.