6 Kwa maana, kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,
tumepewa mtoto wa kiume,
nao utawala utakuwa begani mwake.
Naye ataitwa
Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu,
Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.
6 Kwa maana, kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,
tumepewa mtoto wa kiume,
nao utawala utakuwa begani mwake.
Naye ataitwa
Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu,
Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.