31 Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri
wala kuchagua njia yake yoyote,
32 kwa kuwa Mwenyezi Mungu humchukia mtu mpotovu,
lakini siri yake iko kwa mwenye haki.
31 Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri
wala kuchagua njia yake yoyote,
32 kwa kuwa Mwenyezi Mungu humchukia mtu mpotovu,
lakini siri yake iko kwa mwenye haki.