24 Hufanya nguo za kitani na kuziuza;
Huwapa wafanya biashara mishipi.
25 1 Tim 2:9,10Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake;
Anaucheka wakati ujao.
26 Hufumbua kinywa chake kwa hekima,
Na sheria ya wema iko katika ulimi wake.
27 Mit 14:1;1 Tim 5:14;2 Tim 3:15;Tit 2:4,5Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake;
Wala hali chakula cha uvivu.