Pular para o conteúdo
Publicidade

Provérbios 31

24 Hufanya nguo za kitani na kuziuza;

Huwapa wafanya biashara mishipi.

25 1 Tim 2:9,10Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake;

Anaucheka wakati ujao.

26 Hufumbua kinywa chake kwa hekima,

Na sheria ya wema iko katika ulimi wake.

27 Mit 14:1;1 Tim 5:14;2 Tim 3:15;Tit 2:4,5Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake;

Wala hali chakula cha uvivu.

Veja também