5 Jipatie hekima, jipatie ufahamu; usiusahau;
Wala usiyakatae maneno ya kinywa changu.
6 Usimwache, naye atakusitiri;
Umpende, naye atakulinda.
7 Bora hekima, basi jipatie hekima;
Naam, kwa mapato yako yote jipatie ufahamu.
8 Umtukuze, naye atakukuza;
Atakupatia heshima, ukimkumbatia.