Publicidade

Gratidão

Por Bíblia Online

A gratidão é a resposta natural do coração que reconhece as bênçãos de Deus. A Bíblia transborda de exortações a dar graças — em tudo, por tudo, sempre e com todo o coração.

Dai graças em tudo

Em tudo dai graças, porque esta é a vontade de Deus em Cristo Jesus para convosco. A gratidão é mandamento, não opção.

shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.

shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.

Furahini siku zote; ombeni bila kukoma; shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.

Na kila mfanyalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kupitia kwake.

Na kila mfanyalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kupitia kwake.

Na amani ya Kristo iamue mioyoni mwenu; ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja; tena iweni watu wa shukrani.

Na amani ya Kristo iamue mioyoni mwenu; ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja; tena iweni watu wa shukrani.

Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu.

Maagizo zaidi

Dumuni sana katika kuomba, mkikesha katika kuomba mkiwa na shukrani;

Maagizo zaidi

Dumuni sana katika kuomba, mkikesha katika kuomba mkiwa na shukrani;

Gratidão como louvor

Entrai pelas portas com ação de graças e nos átrios com louvor. A gratidão é o perfume do louvor que sobe a Deus.

Ingieni malangoni mwake kwa shukrani;

Nyuani mwake kwa kusifu;

Mshukuruni, lihimidini jina lake;

Nchi zote zaitwa kumsifu Mungu

Mshangilieni BWANA, enyi nchi zote;

Mtumikieni BWANA kwa furaha;

Njoni mbele zake mkiimba;

Jueni kwamba BWANA ndiye Mungu;

Ndiye aliyetuumba na sisi tu watu wake;

Tu watu wake, na kondoo wa malisho yake.

Ingieni malangoni mwake kwa shukrani;

Nyuani mwake kwa kusifu;

Mshukuruni, lihimidini jina lake;

Maana BWANA ni mwema;

Rehema zake ni za milele;

Na uaminifu wake katika vizazi vyote.

Tuje mbele zake kwa shukrani,

Tumfanyie shangwe kwa zaburi.

Shukrani kwa ajili ya uthibitisho

Ni neno jema kumshukuru BWANA,

Na kuliimbia jina lako sifa, Ee Uliye Juu.

Kuzitangaza rehema zako asubuhi,

Na uaminifu wako wakati wa usiku.

Shukrani kwa ajili ya uthibitisho

Ni neno jema kumshukuru BWANA,

Na kuliimbia jina lako sifa, Ee Uliye Juu.

Kuzitangaza rehema zako asubuhi,

Na uaminifu wako wakati wa usiku.

Siku hii ndiyo aliyoifanya BWANA,

Tutashangilia na kuifurahia.

Ndiwe Mungu wangu, nami nitakushukuru,

Ndiwe Mungu wangu, nami nitakutukuza.

Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema,

Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Atoaye dhabihu za kushukuru,

Ndiye anayenitukuza.

Naye autengenezaye mwenendo wake,

Nitamwonesha wokovu wa Mungu.

Reconhecer a Deus

Rendei graças ao Senhor porque Ele é bom. Sua misericórdia dura para sempre. Cada bênção é motivo de gratidão.

Shukrani kwa kukombolewa katika dhiki

Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema,

Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Na wamtolee dhabihu za kushukuru,

Na kuyasimulia matendo yake kwa kuimba.

Uumbaji wa Mungu na matukio ya kihistoria

Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema;

Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema;

Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema;

Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Mshukuruni BWANA, liitieni jina lake;

Wajulisheni watu matendo yake.

Nanyi semeni,

Ee Mungu wa wokovu wetu, utuokoe,

Utukusanye kwa kututoa katika mataifa,

Tulishukuru jina lako takatifu,

Tuzifanyie shangwe sifa zako.

Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA,

Wala usizisahau fadhili zake zote.

Uwezo wa Mungu na haki yake

Nitamshukuru BWANA kwa moyo wangu wote;

Nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu;

Gratidão nas cartas apostólicas

Paulo sempre iniciava suas cartas com ação de graças a Deus pelos irmãos. A gratidão é essência da vida cristã.

siachi kutoa shukrani kwa ajili yenu; nikiwakumbuka katika sala zangu,

na kumshukuru Mungu Baba sikuzote kwa mambo yote, katika jina lake Bwana wetu Yesu Kristo.

mkisemezana kwa zaburi na tenzi na nyimbo za rohoni, huku mkiimba na kumshangilia Bwana mioyoni mwenu; na kumshukuru Mungu Baba sikuzote kwa mambo yote, katika jina lake Bwana wetu Yesu Kristo.

wala aibu wala maneno ya upuzi wala ubishi; hayo hayapendezi; bali kuwepo kushukuru.

Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.

Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu. Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.

Si kwamba nasema haya kwa kuwa nina mahitaji; maana nimejifunza kuwa radhi na hali yoyote niliyo nayo.

mkitajirishwa katika vitu vyote mpate kuwa na ukarimu wote, umpatiao Mungu shukrani kwa kazi yetu.

mkitajirishwa katika vitu vyote mpate kuwa na ukarimu wote, umpatiao Mungu shukrani kwa kazi yetu.

Kwa maana mambo yote ni kwa ajili yenu, ili neema hiyo ikiongezwa sana, kwa hao walio wengi shukrani izidishwe, na Mungu atukuzwe.

kama wenye huzuni, bali siku zote tu wenye furaha; kama maskini, bali tukitajirisha wengi; kama wasio na kitu, bali tu wenye vitu vyote.

Agradecer a Deus

Graças a Deus que nos dá a vitória por nosso Senhor Jesus Cristo! A gratidão reconhece a fonte de toda boa dádiva.

Lakini Mungu na ashukuriwe atupaye kushinda kwa Bwana wetu Yesu Kristo.

Namshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, kwa sababu ya neema ya Mungu mliyopewa katika Kristo Yesu;

Shukrani

Ndugu, imetupasa kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, kama ilivyo wajibu, kwa kuwa imani yenu inazidi sana, na upendo wa kila mtu kwenu kwa mwenzake umekuwa mwingi.

Kwa kuwa vitu vyote vyatoka kwake, viko kwa uweza wake, tena vinarejea kwake. Utukufu una yeye milele. Amina.

kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.

Kwa maana kila kiumbe cha Mungu ni kizuri, wala hakuna cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani;

Louvor e ação de graças

Ofereçamos sacrifício de louvor e ação de graças ao Senhor. A gratidão é o coração de toda adoração verdadeira.

Basi, kwa njia yake yeye, na tumpe Mungu dhabihu ya sifa daima, yaani, tunda la midomo iliungamalo jina lake.

Basi, kwa njia yake yeye, na tumpe Mungu dhabihu ya sifa daima, yaani, tunda la midomo iliungamalo jina lake.

Basi kwa kuwa tunapokea ufalme usioweza kutetemeshwa, na muwe na neema, ambayo kwa hiyo tumtolee Mungu ibada ya kumpendeza, pamoja na unyenyekevu na kicho;

Na kila kiumbe kilichoko mbinguni na juu ya nchi na chini ya nchi na juu ya bahari, na vitu vyote vilivyomo ndani yake, nilivisikia, vikisema, Baraka na heshima na utukufu na uweza una yeye aketiye juu ya kiti cha enzi, na kwake Mwana-kondoo, hata milele na milele.

wakisema, Amina; Baraka na utukufu na hekima na shukrani na heshima na uweza na nguvu zina Mungu wetu hata milele na milele. Amina.

wakisema, Tunakushukuru wewe, Bwana Mungu Mwenyezi, uliyeko na uliyekuwako, kwa sababu umeutwaa uweza wako ulio mkuu, na kumiliki.

wenye shina na wenye kujengwa katika yeye; mmefanywa imara kwa imani, kama mlivyofundishwa; mkizidi kutoa shukrani.

Nakushukuru, nakuhimidi, Ee Mungu wa baba zangu, uliyenipa hekima na uwezo, ukanijulisha hayo tuliyotaka kwako; maana umetujulisha neno lile la mfalme.

Mwimbieni BWANA kwa kushukuru,

Mwimbieni Mungu wetu kwa kinubi.

Nitanawa mikono yangu bila ya kuwa na hatia,

Na kuizunguka madhabahu yako, Ee BWANA

Ili niitangaze sauti ya kushukuru,

Na kuzisimulia kazi zako za ajabu.

mkachome sadaka ya shukrani, ya kitu kilichotiwa chachu; mkatangaze sadaka mtoazo kwa hiari na kuzihubiri habari zake; kwa maana ndivyo viwapendezavyo ninyi, enyi wana wa Israeli, asema Bwana MUNGU.

basi tunayapokea kila wakati na kila mahali, kwa shukrani yote.

Lakini mimi nitakutolea sadaka kwa sauti ya shukrani;

Nitaziondoa nadhiri zangu.

Wokovu hutoka kwa BWANA.

Lakini mimi nitakutolea sadaka kwa sauti ya shukrani;

Nitaziondoa nadhiri zangu.

Wokovu hutoka kwa BWANA.

Lakini mimi nitakutolea sadaka kwa sauti ya shukrani;

Nitaziondoa nadhiri zangu.

Wokovu hutoka kwa BWANA.

Tena kwao itasikiwa shukrani, na sauti yao wachangamkao; nami nitawazidisha, wala hawatakuwa wachache; tena nitawatukuza, wala hawatakuwa wanyonge.

Maagizo kuhusu maombi

Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote;

Seja o primeiro
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-04_23-13-58-