Koreshi ni chombo cha Mwenyezi Mungu
1 "Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu kwa mpakwa mafuta wake,
Koreshi, ambaye nimemshika mkono wake wa kuume
kutiisha mataifa mbele yake
na kuwavua wafalme silaha zao,
kufungua milango mbele yake
ili malango yasije yakafungwa: