Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "salvação"

42 resultados encontrados

  1. Hebreus 2

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 3–11 de 18

    3Ebr 10:29;12:25 sisi je! Tutapataje kupona, tukipuuza wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliomsikia;

    6Zab 8:4-6 Mwanadamu ni nini hata umkumbuke,Ama mwana wa binadamu, hata umwangalie?

    11Mk 3:34,35;Mt 25:40;Yn 20:17 Maana yeye atakasaye na hao wanaotakaswa wote pia watoka kwa mmoja. Kwa ajili hii haoni haya kuwaita ndugu zake;

  2. 2 Timóteo 1

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 9–14 de 18

    9Tit 3:5 ambaye alituokoa akatuita kwa mwito mtakatifu, si kwa kadiri ya matendo yetu sisi, bali kwa kadiri ya makusudi yake mwenyewe na neema yake. Neema hiyo tulipewa katika Kristo Yesu kabla ya wakati kuanza,

    10Rum 16:26;Ebr 2:14;1 Kor 15:55,57 na sasa inadhihirishwa kwa kufunuliwa kwake Mwokozi wetu Kristo Yesu; aliyebatili mauti, na kuufunua uzima na kutoharibika, kwa ile Injili;

    141 Tim 6:20 Ilinde ile amana nzuri kwa Roho Mtakatifu akaaye ndani yetu.

  3. Mateus 23

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 7–24 de 39

    7na kusalimiwa masokoni, na kuitwa na watu, Rabi.

    19Kut 29:37 Vipofu ninyi; maana ni ipi iliyo kubwa, ile sadaka, au ile madhabahu iitakasayo sadaka?

    24Viongozi vipofu, wenye kuchuja mbu na kumeza ngamia.

  4. Jó 25

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 25
    Mostrando versículos 3–6 de 6

    3Mwa 1:3-5,14-16;Zab 19:4-6;139:8,11;Mt 5:45;Yak 1:17 Je! Majeshi yake yahesabika?Ni nani asiyetokewa na mwanga wake?

    4Ayu 4:17;9:2;Zab 130:3;143:2;Rum 3:19,20 Basi mtu awezaje kuwa na haki mbele ya Mungu?Au awezaje kuwa safi aliyezaliwa na mwanamke?

    6Zab 22:6 Seuze mtu, aliye mdudu!Na mwanadamu, ambaye ni buu!

  5. Marcos 15

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 15
    Mostrando versículos 13–32 de 47

    13Wakapiga kelele tena, Msulubishe.

    30jiponye nafsi yako, ushuke msalabani.

    32Mt 16:1,4 Kristo, mfalme wa Israeli, na ashuke sasa msalabani tupate kuona na kuamini. Hata wale waliosulubiwa pamoja naye wakamsuta.

  6. Apocalipse 1

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 5–7 de 20

    5Isa 55:4;40:2;Zab 89:27,37;130:8;Yn 18:37;Kol 1:18;Ebr 9:14;Ufu 3:14;7:14;19:16 tena zitokazo kwa Yesu Kristo, shahidi aliye mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa waliokufa, na mkuu wa wafalme wa dunia. Yeye atupendaye na kutuosha dhambi zetu katika damu yake,

    6Kut 19:6;Ufu 5:10;1 Pet 2:5,9;Isa 61:6 na kutufanya kuwa ufalme, na makuhani kwa Mungu, naye ni Baba yake; utukufu na ukuu una Yeye hata milele na milele. Amina.

    7Dan 7:13;Mt 24:30;Mk 13:26;Lk 21:27;23:27,28;1 The 4:17;Zek 12:10-14;Yn 19:34,37 Tazama, yuaja na mawingu; na kila jicho litamwona, na hao waliomchoma; na makabila yote ya dunia yataomboleza kwa ajili yake. Naam. Amina.

  7. Neemias 12

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 12
    Mostrando versículos 2–20 de 47

    2Amaria, Maluki, Hatushi;

    5Miyamini, Maazia, Bilgai;

    20wa Salu, Kalai; wa Amoki, Eberi;

  8. Judas 1

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 2–25 de 25

    22 Pet 1:2 Mwongezewe rehema na amani na upendano.

    22Wahurumieni wengine walio na mashaka,

    25Rum 16:27;1 Tim 1:17;2 Pet 3:18 Yeye aliye Mungu pekee, Mwokozi wetu kwa Yesu Kristo Bwana wetu; utukufu una yeye, na ukuu, na uwezo, na nguvu, tangu milele, na sasa, na hata milele. Amina.

  9. 2 Pedro 3

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 2–18 de 18

    2Yud 1:17 mpate kuyakumbuka yale maneno yaliyonenwa zamani na manabii watakatifu, na ile amri ya Bwana na Mwokozi iliyoletwa na mitume wenu.

    6Mwa 7:11,21;2 Pet 2:5 kwa hayo dunia ile ya wakati ule iligharikishwa na maji, ikaangamia.

    18Yud 1:25 Lakini, kueni katika neema, na katika kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo. Utukufu una yeye sasa na hata milele.

  10. Salmos 40

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 40
    Mostrando versículos 13–17 de 17

    13Ee BWANA, uwe radhi kuniokoa,Ee BWANA, unisaidie hima.

    16Washangilie na wakufurahie,Wote wakutafutao.Waupendao wokovu wakoWaseme daima, BWANA ni Mkuu.

    17Neh 5:19;Yon 1:6 Nami ni maskini na mhitaji,Bwana atanitunza.Ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu,Ee Mungu wangu, usikawie.

  11. Romanos 3

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 2–22 de 31

    2Rum 9:4;Kum 4:7,8;Zab 147:19,20;103:7;1 Pet 4:11 Kwafaa sana kwa kila njia. Kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausia ya Mungu.

    15Isa 59:7-8 Miguu yao ina mbio kumwaga damu.

    22Gal 2:16 ni haki ya Mungu iliyo kwa njia ya imani katika Yesu Kristo kwa wote waaminio. Maana hakuna tofauti;

  12. 1 Coríntios 16

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 13–22 de 24

    13Zab 31:24;Efe 6:10 Kesheni, simameni imara katika imani, iweni na ujasiri, mkawe hodari.

    20Rum 16:16;2 Kor 13:12;1 Pet 5:14 Ndugu wote wawasalimu. Salimianeni kwa busu takatifu.

    22Gal 1:8,9 Mtu awaye yote asiyempenda Bwana, na awe amelaaniwa. Maranatha.16:22 Maranatha: maana yake ni, Bwana wetu anakuja.

  13. Salmos 148

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 148
    Mostrando versículos 1–3 de 14

    1Haleluya.Msifuni BWANA kutoka mbinguni;Msifuni katika mahali palipo juu.

    2Dan 7:10;Ebr 1:7 Msifuni, enyi malaika wake wote;Msifuni, majeshi yake yote.

    3Msifuni, jua na mwezi;Msifuni, nyota zote zenye mwanga.

  14. Salmos 56

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 56
    Mostrando versículos 4–10 de 13

    4Ebr 13:5,6 Kwa msaada wa MUNGU nitalisifu neno lake.Nimemtumaini Mungu, sitaogopa;Mwenye mwili atanitenda nini?

    7Je! Wataokoka kwa uovu wao?Ee Mungu, uwaangamize kwa hasira yako.

    10Kwa msaada wa MUNGU nitalisifu neno lake.Kwa msaada wa BWANA nitalisifu neno lake.

  15. Salmos 140

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 140
    Mostrando versículos 1–11 de 13

    1Ee BWANA, uniokoe kutoka kwa watu waovu.Unihifadhi kutoka kwa watu wajeuri.

    7Kum 33:27-29;Zab 18:32 Ee MUNGU Bwana, nguvu za wokovu wangu,Umenifunika kichwa changu siku ya vita.

    11Msingiziaji hatawekwa imara katika nchi,Mtu wa jeuri, uovu humwinda kumwangamiza.

  16. Salmos 31

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 31
    Mostrando versículos 2–23 de 24

    2Zab 71:2;Mit 22:17 Unitegee sikio lako, uniokoe hima.Uwe kwangu mwamba wa nguvu,Ngome thabiti ya kuniokoa.

    16Hes 6:25;Zab 4:6;Dan 9:17 Umwangaze mtumishi wakoKwa nuru ya uso wako;Uniokoe kwa ajili ya fadhili zako.

    231 Pet 1:5 Mpendeni BWANA,Ninyi nyote mlio watauwa wake.BWANA huwahifadhi waaminifu,Bali humlipiza mwenye kiburi ipasavyo.

  17. Salmos 95

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 95
    Mostrando versículos 1–7 de 11

    1Njoni, tumwimbie BWANA,Tumfanyie shangwe mwamba wa wokovu wetu.

    61 Fal 8:54;1 Nya 6:13;Ezr 9:5;Dan 6:10;Lk 22:41;Mdo 7:60;1 Kor 6:20;Efe 3:14;Ayu 35:10;Isa 54:5;Yn 1:3 Njoni, tuabudu, tusujudu,Tupige magoti mbele za BWANA aliyetuumba.

    7Ebr 3:7-11,15;4:7;Zab 95:7-11;Hes 14:22 Kwa maana ndiye Mungu wetu,Na sisi tu watu wa malisho yake,Na kondoo za mkono wake.Ingekuwa heri leo msikie sauti yake!

  18. Salmos 70

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 70
    Mostrando versículos 1–5 de 5

    1Ee Mungu, uniokoe,Ee BWANA, unisaidie hima.

    4Isa 61:10;Hab 3:17;Rum 5:2;Flp 3:1;1 Pet 1:2-9 Washangilie, wakufurahie,Wote wakutafutao.Waupendao wokovu wakoWaseme daima, Atukuzwe Mungu.

    5Zab 40:17;Amu 5:28;Zab 141:1;Ebr 10:37;Ufu 22:20 Nami ni maskini na mhitaji,Ee Mungu, unijilie kwa haraka.Ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu,Ee BWANA, usikawie.

  19. Salmos 108

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 108
    Mostrando versículos 2–13 de 13

    2Amka, kinanda na kinubi,Nitaamka alfajiri.

    12Utuletee msaada juu ya mtesi,Maana wokovu wa binadamu haufai.

    13Isa 25:10;30:3;Omb 1:15;Mal 4:3;Mdo 1:20;Ufu 14:19-20 Kwa msaada wa Mungu tutatenda makuu,Maana Yeye atawakanyaga watesi wetu.

  20. Salmos 149

    Swahili Revised Union Version
    Capítulo 149
    Mostrando versículos 1–9 de 9

    1Isa 42:10 Haleluya.Mwimbieni BWANA wimbo mpya,Sifa zake katika kusanyiko la watauwa.

    4Mit 11:20 Kwa kuwa BWANA awaridhia watu wake,Huwapamba wenye upole kwa wokovu.

    9Kum 7:1-2;Ufu 5:10;Rum 16:20;1 Yoh 5:4 Kuwafanyia hukumu iliyoandikwa;Hiyo ndiyo heshima ya watauwa wake wote.Haleluya.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo