3Ebr 10:29;12:25 sisi je! Tutapataje kupona, tukipuuza wokovu mkuu namna hii? Ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetu na wale waliomsikia;
6Zab 8:4-6 Mwanadamu ni nini hata umkumbuke,Ama mwana wa binadamu, hata umwangalie?
11Mk 3:34,35;Mt 25:40;Yn 20:17 Maana yeye atakasaye na hao wanaotakaswa wote pia watoka kwa mmoja. Kwa ajili hii haoni haya kuwaita ndugu zake;