6 Lk 21:15;Yn 6:45;Yak 1:5Kwa kuwa BWANA huwapa watu hekima;
Kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu;
7 Zab 84:11Huwawekea wanyofu akiba ya hekima kamili;
Yeye ni ngao kwao waendao kwa ukamilifu;
8 1 Sam 2:9;1 Pet 1:5;Zab 37:23,24,28,31Apate kuyalinda mapito ya hukumu,
Na kuhifadhi njia ya watakatifu wake.