Publicidade

Alegria e felicidade

Por Bíblia Online

A alegria é fruto do Espírito e marca do cristão. Alegrai-vos sempre no Senhor! A Bíblia ensina que a alegria de Deus é nossa fortaleza — não depende de circunstâncias, mas da presença de Deus.

Alegrai-vos no Senhor

Alegrai-vos sempre no Senhor! Outra vez digo: alegrai-vos! Na presença de Deus há plenitude de alegria eterna.

Furahini katika Bwana sikuzote; tena nasema, Furahini.

Furahini katika Bwana sikuzote; tena nasema, Furahini.

Utanijulisha njia ya uzima;

Mbele za uso wako kuna furaha tele;

Na katika mkono wako wa kulia

Mna mema ya milele.

Utanijulisha njia ya uzima;

Mbele za uso wako kuna furaha tele;

Na katika mkono wako wa kulia

Mna mema ya milele.

Nimemweka BWANA mbele yangu daima,

Kwa kuwa yuko kuliani mwangu, sitaondoshwa.

Kwa hiyo moyo wangu unafurahi,

Nayo nafsi yangu inashangilia,

Naam, mwili wangu nao utakaa kwa kutumaini.

Nao wote wanaokukimbilia watafurahi;

Watapiga kelele za furaha daima.

Kwa kuwa Wewe unawahifadhi,

Walipendao jina lako watakufurahia.

Kimbilio langu utanilinda nisipate mateso,

Utanizungusha nyimbo za kufurahia wokovu wangu.

Utawala wa Mungu juu ya mataifa

Enyi watu wote, pigeni makofi,

Mpigieni Mungu kelele kwa Sauti ya shangwe.

Kwa kuwa BWANA awaridhia watu wake,

Huwapamba wenye upole kwa wokovu.

Fruto do Espírito

O fruto do Espírito é amor, alegria, paz. A alegria do Senhor é nossa fortaleza — não depende do mundo.

Tunda la Roho

Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.

Kisha akawaambia, Nendeni zenu, mle kilichonona, na kunywa kilicho kitamu, tena mpelekeeni sehemu yeye asiyekuwa na kitu; maana siku hii ni takatifu kwa BWANA wetu; wala msihuzunike; kwa kuwa furaha ya BWANA ni nguvu zenu.

Kisha akawaambia, Nendeni zenu, mle kilichonona, na kunywa kilicho kitamu, tena mpelekeeni sehemu yeye asiyekuwa na kitu; maana siku hii ni takatifu kwa BWANA wetu; wala msihuzunike; kwa kuwa furaha ya BWANA ni nguvu zenu.

Siku hii ndiyo aliyoifanya BWANA,

Tutashangilia na kuifurahia.

Nimeifurahia njia ya shuhuda zako

Kana kwamba ni mali mengi.

Shuhuda zako nimezifanya urithi wa milele,

Maana ndizo changamko la moyo wangu.

Nyumba ya mwumini yenye furaha

Heri kila mtu amchaye BWANA,

Aendaye katika njia yake.

Taabu ya mikono yako hakika utaila;

Utakuwa heri, na kwako kwema.

Alegria nas tribulações

Os que semeiam em lágrimas ceifarão com alegria. Tende por motivo de grande gozo quando caídes em diversas tentações.

Wapandao kwa machozi

Watavuna kwa kelele za furaha.

Maana ghadhabu zake ni za muda mfupi tu;

Radhi yake ni ya milele.

Kilio huweza kuwapo usiku,

Lakini furaha huja asubuhi.

Maana ghadhabu zake ni za muda mfupi tu;

Radhi yake ni ya milele.

Kilio huweza kuwapo usiku,

Lakini furaha huja asubuhi.

Imani na hekima

Ndugu zangu, hesabuni ya kuwa ni furaha tupu, mkiangukia katika majaribu mbalimbali; mkifahamu ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huleta saburi.

Imani na shangwe katika shida

Maana mtini hautachanua maua,

Wala mizabibuni hamtakuwa na matunda;

Taabu ya mzeituni itakuwa bure,

Na mashamba hayatatoa chakula;

Zizini hamtakuwa na kundi,

Wala vibandani hamtakuwa na kundi la ng’ombe;

Walakini nitamfurahia BWANA

Nitamshangilia Mungu wa wokovu wangu.

Kwa hiyo napendezwa na udhaifu, na matusi, na matatizo, na adha, na shida, kwa ajili ya Kristo. Maana niwapo dhaifu ndipo nilipo na nguvu.

Naye mwampenda, ijapokuwa hamkumwona; ambaye ijapokuwa hamumwoni sasa, mnamwamini; na kufurahi sana, kwa furaha isiyoneneka, yenye utukufu, katika kuupokea mwisho wa imani yenu, yaani, wokovu wa roho zenu.

Naye mwampenda, ijapokuwa hamkumwona; ambaye ijapokuwa hamumwoni sasa, mnamwamini; na kufurahi sana, kwa furaha isiyoneneka, yenye utukufu, katika kuupokea mwisho wa imani yenu, yaani, wokovu wa roho zenu.

Alegria compartilhada

Alegrai-vos com os que se alegram. O Senhor fez coisas grandiosas por nós — alegrai-vos no Senhor e regozijai-vos.

kwa tumaini, mkifurahi; katika dhiki, mkisubiri; mkidumu katika kusali;

Furahini pamoja nao wafurahio; lieni pamoja nao waliao.

Maana ufalme wa Mungu si kula wala kunywa, bali ni haki na amani na furaha katika Roho Mtakatifu.

Maana ufalme wa Mungu si kula wala kunywa, bali ni haki na amani na furaha katika Roho Mtakatifu.

Basi Mungu wa tumaini na awajaze ninyi furaha yote na amani katika kuamini, mpate kuzidi sana kuwa na tumaini, katika nguvu za Roho Mtakatifu.

nipate kufika kwenu kwa furaha, kama apendavyo Mungu, nikapate kupumzika pamoja nanyi.

Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo mkunjufu.

Lakini utauwa pamoja na kuridhika ni faida kubwa.

Walio matajiri wa ulimwengu wa sasa uwaagize wasijivune, wala wasiutumainie utajiri usio yakini, bali wamtumaini Mungu atupaye vitu vyote kwa wingi ili tuvitumie kwa furaha.

Jesus e a alegria

A minha alegria esteja em vós e a vossa alegria seja completa. Pedi e recebereis para que a vossa alegria seja plena.

Hayo nimewaambia, ili furaha yangu iwe ndani yenu, na furaha yenu itimizwe.

Hayo nimewaambia, ili furaha yangu iwe ndani yenu, na furaha yenu itimizwe.

Basi ninyi hivi sasa mna huzuni; lakini mimi nitawaona tena; na mioyo yenu itafurahi, na furaha yenu hakuna awaondoleaye.

Hata sasa hamjaomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu.

tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi katika mkono wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu.

Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamtafutao.

Alegria eterna

Alegria eterna terão sobre suas cabeças. O Senhor reinará com alegria sobre o seu povo para todo o sempre.

Umeliongeza taifa, umezidisha furaha yao;

Wanafurahi mbele zako,

Kama furaha ya wakati wa mavuno,

Kama watu wafurahivyo wagawanyapo nyara.

Paza sauti, piga kelele, mwenyeji wa Sayuni;

Maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu kati yako.

Na hao waliokombolewa na BWANA watarudi, watafika Sayuni wakiimba; na furaha ya milele itakuwa juu ya vichwa vyao; nao watapata kicheko na furaha, huzuni na kuugua zitatoweka.

Nitafurahi sana katika BWANA, nafsi yangu itashangilia katika Mungu wangu; maana amenivika mavazi ya wokovu, amenifunika vazi la haki, kama bwana arusi ajipambavyo kwa kilemba cha maua, na kama bibi arusi ajipambavyo kwa vyombo vya dhahabu.

Nitafurahi sana katika BWANA, nafsi yangu itashangilia katika Mungu wangu; maana amenivika mavazi ya wokovu, amenifunika vazi la haki, kama bwana arusi ajipambavyo kwa kilemba cha maua, na kama bibi arusi ajipambavyo kwa vyombo vya dhahabu.

BWANA, Mungu wako, yuko katikati yako shujaa awezaye kuokoa;

Atakushangilia kwa furaha kuu,

Atakutuliza katika upendo wake,

Atakufurahia kwa kuimba.

Wewe nenda zako, ule chakula chako kwa furaha, unywe mvinyo yako kwa moyo wa kuchangamka; kwa kuwa Mungu amekwisha kuzikubali kazi zako.

Unirudishie furaha ya wokovu wako;

Unitegemeze kwa roho ya upendo.

Maana umemfanya kuwa baraka za milele,

Wamfurahisha kwa furaha ya uso wako.

Katika wingi wa mawazo ya moyoni mwangu,

Faraja zako zinaifurahisha roho yangu.

BWANA ni nguvu zangu na ngao yangu.

Moyo wangu umemtumaini,

Nami nimesaidiwa;

Basi, moyo wangu unashangilia,

Na kwa wimbo wangu nitamshukuru.

Matumaini yao wenye haki yatakuwa furaha;

Bali matarajio yao wasio haki yatapotea.

Mtu hulifurahia jibu la kinywa chake;

Na neno linenwalo wakati wa kufaa ni jema kama nini!

Mtu hulifurahia jibu la kinywa chake;

Na neno linenwalo wakati wa kufaa ni jema kama nini!

Baba yake mwenye haki atashangilia;

Naye amzaaye mtoto mwenye hekima atamfurahia.

Furahini siku zote; ombeni bila kukoma; shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.

Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na tisa ambao hawana haja ya kutubu.

Mifano mitatu

Tena ufalme wa mbinguni umefanana na hazina iliyositirika katika shamba; ambayo mtu alipoiona, aliificha; na kwa furaha yake akaenda akauza alivyo navyo vyote, akalinunua shamba lile.

Seja o primeiro
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-