10 Kwa ivyo, wandugu zangu, fundana kutendesa kuugosoa uwo wetango wenu mwekwetangiwao na Muungu uwe mbui ya misi zose he kwekaa kwenu, ati mkekaa ivyo khamnamgwe katu, 11 Kwa sia iyo mwendamjaiwe kwekhigwa haki kamii ya kwengia mwe useuta wa kae wa Zumbe na Mwohozi yetu Yesu Klistu.