3 Utamlinda yeye ambaye moyo wake umekutegemea
Katika amani kamilifu, kwa kuwa anakutumaini.
4 Mtumainini BWANA siku zote
Maana BWANA YEHOVA ni mwamba wa milele.
3 Utamlinda yeye ambaye moyo wake umekutegemea
Katika amani kamilifu, kwa kuwa anakutumaini.
4 Mtumainini BWANA siku zote
Maana BWANA YEHOVA ni mwamba wa milele.