10 Isa 62:11;Ufu 22:12Tazameni, Bwana Mungu atakuja kama shujaa,
Na mkono wake ndio utakaomtawalia;
Tazameni, thawabu yake i pamoja naye,
Na fidia yake i mbele zake.
11 Eze 34:15,23;Isa 49:10;Ebr 13:20;1 Pet 2:25;Ufu 7:17;Yn 10:11Atalilisha kundi lake kama mchungaji,
Atawakusanya wana-kondoo mikononi mwake;
Na kuwachukua kifuani mwake,
Nao wanyonyeshao atawaongoza polepole.