3 Mal 3:10;Yn 7:38Kwa maana nitamimina maji juu yake aliye na kiu, na vijito vya maji juu ya mahali pakavu; nitamwaga roho yangu juu ya wazao wako, na baraka yangu juu yao utakaowazaa; 4 nao watachipua kama nyasi, kama mierebi kandokando mwa vijito.
Publicidade