Pular para o conteúdo
Publicidade

Isaías 53

3 Zab 22:6;Ebr 4:15;Yn 1:10Alidharauliwa na kukataliwa na watu;

Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko;

Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao,

Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.

4 Mt 8:17;26:66;1 Pet 2:24Hakika ameyachukua masikitiko yetu,

Amejitwika huzuni zetu;

Lakini tulimdhania ya kuwa amepigwa,

Amepigwa na Mungu, na kuteswa.

5 1 Pet 2:24Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu,

Alichubuliwa kwa maovu yetu;

Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake,

Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.

Veja também