Pular para o conteúdo
Publicidade

Isaías 9

6 Lk 2:11;Yn 3:16;Mt 28:18;1 Kor 15:25;Amu 13:18;Zab 45:3,6;Yer 23:6;Yn 1:1;Tit 2:13;Efe 2:14;Kol 1:20;Ebr 13:20Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,

Tumepewa mtoto wa kiume;

Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake;

Naye ataitwa jina lake,

Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu,

Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.

7 Dan 2:44;Lk 1:32-33Mamlaka ya enzi yake yatakuzwa daima,

Na kutakuwa na amani isiyo na mwisho,

Katika kiti cha enzi cha Daudi na ufalme wake;

Kuuthibitisha na kuutegemeza

Kwa hukumu na kwa haki,

Tangu sasa na hata milele.

Wivu wa BWANA wa majeshi ndio utakaotenda hayo.

Veja também