Sifa kwa kukombolewa katika udhalimu
1 Ee BWANA, wewe u Mungu wangu;
Nitakutukuza na kulihimidi jina lako;
Kwa kuwa umetenda mambo ya ajabu,
Mashauri ya kale, kwa uaminifu na kweli.
1 Ee BWANA, wewe u Mungu wangu;
Nitakutukuza na kulihimidi jina lako;
Kwa kuwa umetenda mambo ya ajabu,
Mashauri ya kale, kwa uaminifu na kweli.