Pular para o conteúdo
Publicidade

Isaías 53

12 Flp 2:9;Kol 2:15;Mk 15:28;Lk 22:37;23:34Kwa hiyo nitamgawia sehemu pamoja na wakuu,

Naye atagawana nyara pamoja nao walio hodari;

Kwa sababu alimwaga nafsi yake hata kufa,

Akahesabiwa pamoja na hao wakosao.

Walakini alichukua dhambi za watu wengi,

Na kuwaombea wakosaji.

Veja também