12 Zab 72:12;Mit 21:13Kwa sababu nilimwokoa maskini aliyenililia;
Yatima naye, na yule asiyekuwa na mtu wa kumsaidia.
13 Baraka yake yeye aliyekuwa karibu na kupotea ilinijia;
Nikaufanya moyo wa mjane kuimba kwa furaha.
12 Zab 72:12;Mit 21:13Kwa sababu nilimwokoa maskini aliyenililia;
Yatima naye, na yule asiyekuwa na mtu wa kumsaidia.
13 Baraka yake yeye aliyekuwa karibu na kupotea ilinijia;
Nikaufanya moyo wa mjane kuimba kwa furaha.