Pular para o conteúdo
Publicidade

Ayubu 33

14 Kwa kuwa Mungu hunena mara moja,

Naam, hata mara ya pili, ijapokuwa mtu hatambui.

15 Ayu 4:13Katika ndoto, katika maono ya usiku,

Usingizi mzito uwajiapo watu,

Katika usingizi kitandani;

Veja também